Zuchu: Maneno Matamu Kutoka kwa Nyimbo Zake

Karibu katika mkusanyiko wa misemo ya Zuchu kutoka kwa nyimbo zake. Maneno haya yamenyumbuliwa kutoka katika mashairi yake, yakikusudia kukupa hekima na burudani.

Maneno ya Mapenzi: Misemo ya Zuchu Kutoka kwa Nyimbo

  1. Mapenzi vita we ndo gadi bebi utanitetea.
  2. Unishikapo ndipo hapo nafarijika.
  3. Mambo yako mahaba yako ndo maana natononoka wee.
  4. Kwa penzi yakapona, rabii amenipa nusura.
  5. Ukipenda unibimbe unikumbatie.
  6. Kwa mapenzi moto moto, my baby keep it burning.
  7. Mambo tunayopeana, tunayopeana, kumbe mapenzi ndo hivi.
  8. Penzi ka’eka bando, kifurushi, na hatutomaliza.
  9. Ada kinachotakasa nafsi huba si sabunii.
  10. Ada kama moyo jiko basi we ndo wangu kuni, mapenzi soka nipe pasi ntie nyavuni.
  11. Roho yanidadarika kashantoka shetwani, moyo umekunja ndita nakumiss jamani.
  12. Raha kupendwa raha, raha jamani raha.

Misemo ya Maisha: Misemo ya Zuchu Kutoka kwa Nyimbo

  1. Akili itazunguka zunguka ukiniacha mwenzako.
  2. Mana nitaumbuka yote kwaajili yako hee.
  3. Hunywi maji yakapita me nkiguna ushafika.
  4. Ushauri hutaki kabisa eti uniache nna visa.
  5. Vya vifarauni na musa vingi.
  6. Nzi kidonda nimefia wahenga walisema.
  7. Maradhi yaweza yasiwe na dawa.
  8. Jeuri sina tena.
  9. Ngumu safari nlifanya njiani ushukie eh eh.
  10. Ukakosa seat mmiliki gari lako mwenyewe eh eh.
  11. Kweli mbaya halisi na wema hakosi eeeh eh.
  12. Mali yake ishaliwa, aha apunguze kampeni, jimbo lishachukuliwa.
  13. Alidhani ameniadhiri, alidhani amenikomoa, Mungu akanipa msitiri, alonipoza nikapoa.

Misemo ya Kutia Moyo: Misemo ya Zuchu Kutoka kwa Nyimbo

  1. Usiruhusu wadangaji wakaanza kukuzoea.
  2. Unawajua mafisadi watakata cha kunisemea.
  3. Jeuri sina tena.
  4. Washushuke wanyamaze nikuna nibembeleze.
  5. Usinipepee nipulize watuone washituke.
  6. Roho zao ziwaume mi nipike ule chote, unenepe upendeze.
  7. Nitambulishe niringe niwavimbie.
  8. Nitambulishe nitambe niwavimbie.
  9. Hata watu watuone wakahadithie.
  10. Hata Lizer atuone akahadithie.
  11. Usije ukaugua mana.
  12. Sikika habari etii kuna mtu twamkera oooh mbona akae tayari.

Maneno ya Kupost WhatsApp Kutoka kwa Nyimbo za Zuchu

  1. Oh mai Gaado am crazy for you.
  2. Tena uzikumbuke ahadi zile ulizonigea.
  3. Jina gani hujaniita baby?
  4. Nikilala naota kama unaniita.
  5. Unishikapo ndipo hapo nafarijika.
  6. Nami simpii mi wala, akitaka nampa.
  7. Nitambulishe niringe niwavimbie.
  8. Kwa mapenzi moto moto, my baby keep it burning.
  9. Raha kupendwa raha, raha jamani raha.
  10. Na hatuachanii, na litawachoma sana.
  11. Mimi na wewe hadi milele komesha wachokozi.
  12. Ngumu safari nlifanya njiani ushukie eh eh.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *