Misemo na methali 100 za wahenga

Katika makala haya tumekupa mismeo 100 ya wahenga kupitia kwa methali.

Methali za wahenga

  • Ajali haina kinga
  • Ajizi ni nyumba ya njaa
  • Akili ni mali, akili nyingi huondoa maarifa
  • Akili ni nywele kila mtu ana zake
  • Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki
  • Akutendaye mtende,mche asiyekutenda
  • Aliye juu mngoje chini
  • Aliye kando haangukiwi na mti
  • Aliyekunyoa shungi kakupunguzia kuchana
  • Aliyetota hajui kutota
  • Baniani mbaya kiatu chake dawa
  • Bao nene si chuma chembamba
  • Bendera hufuata upepo
  • Bilashi, bilashi, katu haitoshi
  • Binadamu ni kama kilihafu hakosi uchafu
  • Bura yangu sibadili kwa rehani
  • Chanda chema huvikwa pete
  • Chovya chovya humaliza buyu la asali
  • Chungu kidogo huchemka upesi
  • Dawa ya moto ni moto
  • Debe shinda haliachi kutika
  • Debe tupu haliachi kuvuma
  • Domo kaya samli kwa mwenye ng’ombe
  • Dondandugu halina dawa
  • Dua la kuku halimpati mwewe
  • Dunia hadaa ulimwengu shujaa
  • Eda ni ada yenye faida
  • Fadhila mpe mama na Mola atakubariki
  • Fadhila za punda mashuzi
  • Fadhili ukitenda usingoje shukrani; ukiten…
  • Fahali wawili hawakai zizi moja
  • Ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno
  • Ghururi na binadamu hawaachani
  • Haba na haba hujaza kibaba
  • Hadhari kabla ya hatari
  • Hakuna bamvua lisilo usubi
  • Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha
  • Hakuna masika yasiyo na mbu
  • Hakuna ziada mbovu
  • Hukutia mtu wako
  • Ibilisi wa mtu ni mtu
  • Inuka twende ni kwa waaganao
  • Ivushayo ni mbovu
  • Jambo la ukucha halichukuliwi shoka
  • Jaribu huleta fanaka
  • Jawabu la kesho andaa leo
  • Jawabu wakatiwe na wakatiwe si zani
  • Jimbi wa shamba hawiki mjini
  • Jino liking’oka ukubwani halimei tena
  • Jogoo likiwika ama lisiwikae kutakucha
  • Jogoo wa shamba hawiki miini
  • Kichwa cha kuku hakihimili kilemba
  • Kidole kimoja hakivunji chawa
  • Kifo cha wengi harusi
  • Kila mtoto na koja lake
  • Kila mwamba ngoma, ngozi huivuta kwake
  • Kila ndege huruka kwa ubawa wake
  • Kilichoingia mjini si haramu
  • Kimya kingi kina mshindo mkuu
  • Kivuli cha mgude husaidia walio mbali
  • Kujikwaa si kuanguka, bali ni kwenda mbele
  • Kukopa harusi kulipa matanga
  • Kuku havunji yai lake
  • Kuku mgeni zawadi za kunguru
  • Kula kutamu kulima mavune
  • Kula ni vyepesi lakini kulima ng’o
  • Kula uhondo kwataka matendo
  • Kulea mimba si kazi kazi kulea mwana
  • Kunguru mwoga hukimbiza bawa lake
  • Kutoa ni moyo si utajiri
  • Kutoa ni moyo usambo ni utajiri
  • Kuzimika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi
  • Kwenye udongo hukosi mfinyanzi
  • La kuvunda halina ubani
  • La mgambo likilia kuna jambo
  • Leo ni leo asemaye kesho ni mwongo
  • Lila na fila havitangamani
  • Lililompata peku na ungo litampata
  • Linalopita hupishwa, yaliyopita si ndwele tena
  • Maji mafu mvuvi kafu
  • Maji ya nazi hutafuta mvungulio
  • Majuto ni mjukuu huja baada ya kitendo
  • Makuukuu ya mwewe si mapya ya kengewa
  • Mali bila daftari hupotea bila habari
  • Mali ilivunja nguu milima ikalala
  • Mali ya bahili huliwa na mchwa
  • Mama mkwe hafungui mdomo
  • Mambo kangaja huenda yakaja
  • Mashua ya maskini huzama mtoni
  • Maskini hana kinyongo
  • Maskini hana rafiki
  • Maskini haokoti, akiokota huambiwa keba
  • Mbio za sakafuni huishia ukingoni
  • Mchonga mwiko hukimbiza mkono wake
  • Mchovya asali hachovyi mara moja
  • Mdomo siri ya gunda
  • Meno ya mbwa hayaumani
  • Mfa maji haishi kutapatapa
  • Mficha uchi hazai
  • Mfinyanzi hulia gaeni
  • Mgaagaa na upwa hali wali mkavu
  • Mganga hajigangi
  • Mgema akisifiwa tembo hulitia maji

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *