Misemo ya Kupendeza kutoka kwa Nyimbo za Mbosso

Hapa utapata misemo ya Mbosso kutoka kwa nyimbo zake kuhusu mapenzi, maisha na hata ya kutia moyo.

Maneno ya Mapenzi kutoka kwa Nyimbo za Mbosso

  1. Kwake nimelewa kama wine.
  2. Penzi twadalikana poo kidali.
  3. Penzi letu baiskeli kaa bomba la mbele.
  4. Penzi zito tani, napewa raha kupitiliza.
  5. Penzi lako la ajabu, mahaba yake ya ajabu.
  6. Penzi limenizidia, ni kubwa, nzito.
  7. Nimekipanda uani, kibustani cha uyoga.
  8. Tamu pendo wasitie sumu.
  9. Penzi chupa la balindi, tuligide baby hadi tulewe.
  10. Nimekusahau, nakumbuka tu lako jina.

Misemo ya Maisha kutoka kwa Nyimbo za Mbosso

  1. Mimi sina jinsi.
  2. Tajiri wa mbegu.
  3. Baba Mndenge mama Mzaramo.
  4. Mambo yote hadharani.
  5. Anataka nipite peku, Kunduchi juu anifikishe kwetu.
  6. Embu tamu ladha ya kitumbua, Rojo ya embe Kibada!
  7. Kama kuku twakimbizana.
  8. Mjini baba pesa fitina.
  9. Mimi ukanidharau, visenti haba mfuko umechina.
  10. Dunia ni saa mbovu mwana, usije ifatisha.

Misemo ya Kutia Moyo kutoka kwa Nyimbo za Mbosso

  1. Nipo salama hata usijali, nalishwa vitamu.
  2. Usikamate utawaita wazungu.
  3. Mungu kanipa nilichomuomba, Mashallah.
  4. Nitakulinda kwa kunuti, nitapigana jihadi, pendo liwe madhubuti.
  5. Nivumilie ipo siku tutapata, shida na dhiki zitakwisha baby.
  6. Kila jema lina maumivu, na kwenye waliopo tumo.
  7. Najipa matumaini nitafuute nisichoke, moyoni nikiamini kuwa Mungu ni wetu sote.
  8. Hata mate kinywani ya uchungu nayameza kwa tabu jamaa, maisha yangu mazingaombwe ya maajabu sana.
  9. Riziki mafungu mawili, kupata au kukosa.
  10. Baada ya dhiki mavuno.

Maneno ya Kupost WhatsApp Kutoka kwa Nyimbo za Mbosso

  1. Kila nikikaweka kwenye line.
  2. Kwake nimelewa kama wine.
  3. Ye sisimizi nami gegedu tuna gegeduana.
  4. Mwana nyuma umejaza kishindundu.
  5. Embu tamu ladha ya kitumbua.
  6. Hodari kunengua, miuno ya ushubwada.
  7. Katoto kamelainika kwala, kukapa ndizi banana.
  8. Salamu ulizo nitumia, zimenifikia.
  9. Nipo salama hata usijali.
  10. Penzi twadalikana poo kidali.
  11. Mimi sina gali.
  12. Nitapigana jihadi, pendo liwe madhubuti.
  13. Shida na dhiki zitakwisha baby.
  14. Kila jema lina maumivu.
  15. Penzi letu baby, yani mpaka kisogoni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *